Selasa, 17 September 2013

Which Flowers Are In Season?


       JANUARY. ---- Ranunculus



     FEBRUARY --  Lillium

    


    MARCH -- Freesia

  


  
      APRIL - Tulip

    



    MAY --Peonies

   


    JUNE -- Berbera



         JULY - Zinnia

\


    AUGUST --Sunflower



    
SEPTEMBER- Hyacinth




OCTOBER --- Stock





    NOVEMBER --- Calla



 DECEMBER --- Poppies


Senin, 09 September 2013

Unazijua KAULI zinazoharibu mahusiano/Ndoa ??



 
MAISHA ya ndoa ni mazuri, lakini ni suala la msingi sana kuwa makini na ulimi pamoja na matendo yetu.
Kimsingi ni kwamba huwa ni kitu cha kusikitisha kidogo, mtu anaingia kwenye uwanja kwa ajili ya kucheza mpira kwa mfano, halafu hachezi amesimama tu kama mlingoti!
Unapoingia kwenye ndoa, pamoja na mambo mengine unapaswa kuwa makini na matendo ambayo unamwambia mwenzi wako.
Unapoingia kwenye ndoa unatakiwa kuwa tayari na yale ambayo hufanyika kwenye ndoa. Ni makosa kuingia kwenye ndoa, halafu unakuwa mwanandoa kero, kila kitu unachoambiwa wewe jibu ‘mimi siwezi, aaah nimechoka, sitaki, jana nimekupa na leo unataka tena, kwani mimi ng’ombe, aaah hata ng’ombe huwa anachoka vilevile’.
Kutwa nzima watu wamekuwa wakihangaika na maisha, inatia hasira unarudi nyumbani nako ni shida nyingine inatokea, ukifanya hiki, sitaki, nimechoka, naumwa kichwa, aaah subiri kwanza nipumzike’
Wenye kauli kama hizi wengi ni wanawake, ingawa pia wapo wanaume wachache. Kama ni wanaume basi huenda kuna kasoro, labda mwanaume anaanza kuwa na dalili za matatizo ya uwezo wake wa kiume, anaumwa magonjwa fulani hasa kama nyumba ya mgongo kwa chini kuna maumivu na wakati mwingine ni dalili za upendo kupungua.
Kwa asilimia kubwa wanaume huwa hawachoki kiasi cha kusema sitaki au siwezi. Akisema hivi basi ni dalili kama hizo za juu. Hata hivyo hata kama mwanaume anasumbuliwa na tatizo la nguvu, kuna vyakula ambavyo anaweza kula na hali yake inaweza kuwa nzuri, kama ambavyo mara kadhaa nimewahi kueleza katika makala zangu.
Wengine wanasumbuliwa na tatizo hili la nguvu, kwa sababu walifanya sana michezo kama ya kujichua, kulewa, kutumia dawa za kulevya, kufanya mazoezi sana kisha kuacha, kuvuta sigara, kutumia dawa za magonjwa hasa ya kisukari, moyo (baadhi ya dawa husababisha nguvu kupungua). Hata hivyo kwa vyovyote itakavyokuwa tiba yake ipo kama nilivyoeleza hapo juu, huna sababu ya kuwaza mabaya au kukata tamaa. Kukata tamaa katika maisha ni kosa kubwa.
Ndugu yangu natamani siku moja usiku Mungu angefungua mapaa yote ya nyumba wanazolala wanandoa halafu uone namna wengi wao wanavyolala, bila shaka kama bado hauko kwenye ndoa, usingeshawishika siku moja uwe mwanandoa.
Ninachotaka kusema ni kuwa ndoa nyingi zimejaa maigizo, watu wanaishi wanacheka, wengi wao wanaishi tu kwa shida, hakuna maelewano ya kutosha. Ndoa yako ikoje?
Baadhi ya nyumba kwa mfano, unaweza kuona mmoja anamlalamikia mwingine kwa kutokuwa mwaminifu nk. Baadhi ya nyumba pia utaona watu wamelala sebuleni, mmhh baba mzima au mama mzima ambaye unamuona mitaani, yanayoendelea kwenye nyumba yake ni vigumu kuamini kama kweli huyu fulani anaweza kufanya.
Msingi wa yote haya ni sisi wenyewe namna ambavyo tunatumia ulimi na matendo yetu, hivyo ni muhimu kuwa makini.
“Ngoja nipumzike, sitaki, aaah nimechoka”, ni kati ya kauli ambazo zinaharibu mapenzi. Je, wewe umewahi kuzitumia? Ni vizuri kuachana nazo. Umeingia kwenye mpira uko katikati, ni vizuri kuangalia namna ya kuucheza badala ya kuleteana kero ndani ya ndoa.
Mapenzi kama mnakomoana
Hekima pia inahitajika kujua mwenzangu yukoje na nifanyeje ili kwendana naye, maana kuna wengine kila siku anataka, kwa baadhi ya wanandoa huwa hawataki sana hilo, anaona kama unamkomoa. Kwa wiki angalau siku tatu si mbaya.
Hakuna athari za kisaikolojia za kukutana mara kwa mara kama wenyewe mnapenda, lakini si mbaya pia kubuni mbinu zingine za kukutana ili kuboresha uhusiano wenu na kufurahiana zaidi, japo tafiti nyingi zinaonyesha kuwa tendo linapofanywa mara nyingi linasaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha ndoa na kuwafanya wanandoa kupendana sana, kuliko wale ambao akiguswa aaah sitaki, jana nimekupa na leo unataka’.
Lakini pia mwenzi wako anapotaka, si hekima kusema sitaki, badala yake unapaswa kumsaidia kutimiza anachotaka, ziko njia nyingi hata kama ni kucheza tu, si ndio jamani?  
Mapenzi ni zaidi ya ‘kupigana ugomvi wa baba na mama’, mnapaswa kwa mfano kuwa mnatembea pamoja, kula pamoja, kuoga pamoja, kuzungumza kauli nzuri na mambo kama haya.

Jumat, 06 September 2013

Honeymoon Calendar

Follow this timetable to make sure you’re on schedule with your wedding trip plans.

6 months before

  • While you're doing the wedding planning, discuss the type of honeymoon you want—whether you crave a sunny beach vacation, a rugged hike in the mountains or a cruise to places full of history and culture. Keep in mind that if you are planning a large wedding, you will be tired and may not want to maintain a hectic schedule.
  • Determine how much time off from work you will be able to take. Some trips—such as those to the South Pacific and Asia—require too much travel time and acclimation to the time difference to be taken comfortably in just one week.
  • Start reading up on potential destinations. Look through travel books, magazines and the travel section of your local newspaper. Discuss your honeymoon dreams together and imagine what different trips would be like.
  • Set a realistic budget, factoring in everything from the plane tickets and the hotel fees to meals and souvenirs. The first few weeks after the wedding are not the time to accrue credit card debt.

5 months before

  • Finalize your destination, and make sure that you’re both happy with the decision. Try not to change your mind—you can always take a different trip another time.
  • Be sure to thoroughly research hotels, airlines and rental-car companies before you book anything. Keep in mind your wedding budget and how you might go over it, and make sure you have leeway in the honeymoon budget just in case.

3 months before

  • Make your reservations and charge all necessary deposits. Keep a record of confirmation numbers and requests for things like non-smoking rooms, king-size beds and window seats.
  • Be sure that your official travel documents, such as your passports and any necessary visas, are in order.
  • Research travel insurance, and purchase whatever coverage you need.

2 months before

  • Make sure you have the proper luggage, as well as travel essentials like a toiletry bag, a voltage converter and a travel iron. There’s still time before the wedding to add items you need to your bridal registry.

1 month before

  • Write up a list of everything you’ll need to pack, including clothes, toiletries and accessories, and purchase last-minute items such as sunscreen. You won’t have time to deal with this stuff closer to the wedding, so it’s best to do it now.
  • Buy or borrow a camera and video camera if you need them, and pick up film and extra batteries.

1 week before

  • Confirm all travel arrangements.
  • Make a copy of your travel itinerary, including phone and fax numbers where you can be reached, and leave it with friends or family in case of emergency.
  • Pack medications, a change of clothes and toothbrushes, as well as tickets, passports and money, in your carry-on bag. Save room for honeymoon gifts if you receive any at the wedding.

Day of departure

  • Be sure to arrive at the airport early to allow for security checks—a minimum of one hour before domestic flights, two for international.
  • Drink plenty of water so that you arrive fresh and hydrated.
  • Get on the local time as soon as you arrive at the airport, even if that means drinking coffee to stay awake. The sooner you adjust, the better.
  • Relax and have fun! You’re married, the wedding is over, and all you have to do now is enjoy each other and your well-deserved vacation.

Rabu, 04 September 2013

What Makes Couples' Fights Different

In the context of a committed relationship, fights provide a way for couples to reconnect, according to Greg Godek. "Although fighting is never fun or nice when you're in the middle of it, the outcome can be positive. In the midst of a fight you're miserable. In a way, it's like exercising. Is working out always fun? No. But it deals with your weak spots." And in a committed relationship, he adds, weak spots are the ones we most need to concentrate on.
Fights with the one we love are truly different, he explains, because the purpose of the fight is different. "In the ‘outside world,' it's all about winning and losing," says Godek. But that"s not true of squabbles with your spouse (or future spouse). Here, the purpose is more often to blow off the steam and/or to express an emotion—even if you don't know quite what that emotion is or what's behind your need to emote.
Fights can work like a psychological pressure-relief valve, helping you to reestablish emotional equilibrium. The problem, Godek says, is that we've all been conditioned to believe fighting can only be a win-lose proposition. "Most of us shift into a win-lose mode in an argument," he says. "Because we subconsciously expect an argument to have a clear winner and loser, we line up all of our ‘evidence' as though we're going before a jury. We focus on the idea of winning the fight."