Rabu, 31 Juli 2013

TOA MAONI YAKO KUHUSU NAMBA YA WAGENI/WATU NDANI YA UKUMBI HUKO HARUSINI .


 YAFUATAYO NI MASWALI MACHACHE YAKUJIULIZA .

Je unadhani kuna umuhimu wa namba ya watu/wageni kuwa kubwa ama ndogo ??

Na Je ni sawa kwenda ukumbini kwenye harusi kwakua umetoa mchango  ama ni vizuri uende kushehereka ?



   Toa maoni yako kwa comment ili wadau mbalimbali nao waweze   kujua ukweli wa namba ya wageni waalikwa kwani imekua ni tatizo katika harusi nyingi sana.

Tidak ada komentar:

Posting Komentar